Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mnyika Mahakamani: Si Lissu aliyesambaza video za mkutano wa watia nia
Mnyika aeleza majaji kuwa Lissu hakushiriki katika maandalizi ya mkutano wa Aprili 3 wala kuwaalika waandishi waliohudhuria.
Muhtasari
- Kauli zangu zilinyofolewa nje ya muktadha - Lissu
- Lissu: Mfumo wa uchaguzi unaitetea CCM
- Mgombea wa upinzani hashindani na wapinzani pekee - Lissu
- Lissu: Shahidi wa mashtaka ndiye aliyechapisha video
- Lissu: Nilivamiwa na kukamatwa nikiwa nahitimisha mkutano Songea
- Tulizungumza hadharani, Hatukuwa na mpango wa uhaini - Lissu
- Lissu: CHADEMA ilihamasisha 'No Reforms, No Election' Nchi Nzima
- Lissu: 'No Reforms, No Election' haikuwa kauli yangu pekee
- Lissu asimulia mchakato wa maridhiano na CCM
- Lissu: Masuala ya uchaguzi si ya kuyachukulia kwa wepesi
- Nimesikia Mbowe yuko kwenye uzinduzi wa bwawa, wakati Mwenyekiti wake yuko Ukonga - Lissu
- CCM imekuwa ikikataa mabadiliko ya katiba na tume huru ya uchaguzi - Lissu
- Mfumo mzima wa uchaguzi umetengenezwa na CCM - Lissu
- Lissu ahoji muktadha wa kauli zinazounda shtaka la uhaini
- Shahidi asitutoe nje ya reli - Serikali
- Hii ni mara yangu ya nne kukamatwa chini ya Samia, Lissu amesema
- Lissu: Mwaka 2024 ulikuwa mgumu kwa viongozi wa CHADEMA
- Lissu: Siku niliyopigwa risasi walinzi hawakuwepo
- Nimepimwa mkojo kwa mashtaka ya uchochezi - Lissu
- Polisi walitaka kuvunja chumba cha maiti, wachukue maiti - Lissu
- Lissu akumbuka Christmas ya kwanza akiwa gerezani
- Ndani ya Chadema mimi ndiye kiongozi niliyeshtakiwa mara nyingi - Lissu
- Lissu asema kesi ya uhaini ni kwa sababu ya harakati za kupigania demokrasia
- Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu yaanza
- Kesi ya Lissu imeahirishwa kwa muda hadi jumatatu
- Majaji wamejifunza kwangu sheria za uchaguzi - Lissu
- Kukaa gerezani hakujapunguza heshima yangu, bali kumeiongeza - Lissu
- 'Kilichonileta hapa sio uhaini ni vita vya kisiasa' - Lissu
- Majaji kutoa uamuzi kuhusu mashahidi wa serikali
- Mahakama haina uwezo wa kumwita rais Samia kufika mahakamani – Wakili Minuka
- Kwa Picha : Tundu Lissu mahakamani
- DPP yaomba mahakama isiwaite baadhi ya mashahidi wa Lissu, akiwemo Rais Samia
- Lissu: Nimezuiwa kukutana na mashahidi gerezani
- Lissu aomba Samia na viongozi wakuu wa serikali kuwa mashahidi
- Lissu ana kesi ya kujibu ya tuhuma za uhaini - Mahakama
- Lissu: Majaji kuamua iwapo watamwachia Lissu au ana kesi ya kujibu
- Lissu: 'Upande wa mashtaka umeshindwa kuthibitisha kesi dhidi yangu'
- Lissu: 'Sina shida na kufungwa kwa kesi'
- Serikali yafunga ushahidi wake dhidi ya Tundu Lissu
- Kesi imehairishwa mpaka Agosti 17, 2026
- "Nikija kusema aitwe Samia si itachukua miaka mitano?" - Lissu
- Kesi ya Lissu kuendelea leo Ijumaa Agosti 14.2026
- "Ninaonewa tu, sina hatia, ninatuhumiwa kurusha matangazo"
- Mliadhibiwa na mamlaka kwa kurusha mkutano wangu: Lissu
- Lissu: "Hii sio kesi ya wizi wa mbuzi ni kesi ya uhaini"
- Shahidi wa 17 anatarajiwa kuanza kutoa ushahidi katika kesi ya Lissu
- Leo Alhamisi kesi ya Lissu inaendelea
- "Mnanitesea nini kama mna ushahidi dhidi ya mnaosema wana makosa"
- Lissu: Wewe ndio mpelelezi na huna hakika na yote
- Lissu amuhoji shahidi kama alipewa jina la mwanachadema yeyote aliyekua hatarini kwa vitisho
- Lissu: Unataka na Mawakili wakae hapo na wao niwakaange?
- "Je una akili timamu bwana afande?" - Lissu
- Maswali ya dodoso yanaendelea
- Lisssu amewasili Mahakamani anaendela kumhoji shahidi
- Lissu aendelea kumhoji shahidi wa 16 katika kesi ya uhaini
- Usikilizwaji wa kesi hiyo unaendelea kwa mfululizo kuanzia Agosti 10 hadi Septemba 7, 2026.
- Kesi hiyo ilisimama kwa takribani miezi mitano tangu
Moja kwa moja
Elizabeth Kazibure, Rashid Abdallah & Asha Juma