Mzozo wa mrithi wa mfalme wa Wazulu waelekea mahakamani

Mke wa kwanza, Malkia Sibongile Dlamini, anapinga kutekelezwa kwa wosia wa mfalme uliomtaja mfalme ajaye - huku kukiwa na madai kwamba wosia wake wa mwisho unaweza kuwa ulighushiwa.